sw_tn/job/12/07.md

1.1 KiB

7Lakini sasa waulize... watakuambia wewe.

Tungo hizi nne zote zinaelezea wazo moja kwamba wanyama wa mwituni, ndege, ardhi, na samaki, wanamfahamu Mungu vizuri kuliko rafiki za Ayubu wanavyofanya.

waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe;

Kiambishi tashihisi katika sehehemu ya kwanza ya sentensi kinatumika kuonyesha hali ya kutokuwa na uhakika wa jambo kutokea. "Lakini ungewauliza hayawani wangekufundisha wewe"

waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe

Tashihisi katika sentensi hii inatumika kuonyesha hali ya kutokuwa na hakika ya jambo kutokea. "kama wewe ungewauliza ndege wa angani, wao wangekuambia wewe"

Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe;

Kiambishi tashihisi katika sehemu ya kwanza ya sentensi hii kinatumika kuonyesha hali ya kutokuwa na uhakika wa jambo kutokea "Au kama ungeiambia ardhi ingekufundisha wewe"

samaki wa baharini watakutangazia wewe.

Kiambishi tashihisi "Waulize samaki wa baharini" kimefahamika kutoka katika sentensi zilizotangulia."na kama ungeliwauliza samaki wa baharini, wangekutangazia wewe"