sw_tn/job/12/04.md

1.3 KiB

Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye!

Uhusiano baina ya tungo hizi unaweza kufafanuliwa na maneno " japokuwa" "Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani zangu-ingawa ni mmoja aliye mwita Mungu na yeye alinijibu mimi"

Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.

Uhusiano kati ya tungo hizi "japokuwa" "Japokuwa mimi ni mwenye haki na mtu asiyelaumika, sasa watu ananicheka"

Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka;

Maneno " mawazo", "rahisi" "dhihaka" "bahati mbaya"yaweza kuelezwa pamoja na tungo zingine. "Mtu anayeishi katika maisha rahisi humchukia mtu anayeteseka"

huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.

Kuleta mambo mabaya ina maanisha kuyasababisha kutokea. "kusababisha vitu vibaya zaidi kutokea"

ambao miguu yao inateleza

Mguu kuteleza inamaanisha kuwa katika hatari au mahangaiko"

Hema za wezi hufanikiwa,

Kufanikiwa kwa hema zao kunawakilisha wezi kufanikiwa katika hema zao. "Wevi huishi katika kufanikiwa ndani ya hema zao wenyewe"

mikono yao wenyewe ni miungu wao.

"Mikono yao wenyewe" kiwakilishi cha "nguvu na " na "miungu yao" ni tashbiha kuelezea kiburi chao. "wao wanajivuna sana kwa uwezo wao wenyewe"