sw_tn/job/12/01.md

769 B

Hakuna shaka

"Hakika"

ninyi wanadamu

"ninyi ni watu muhimu mnafahamu kila kitu"

Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo

Ayubu anawadhihaki jinsi gani wanavyotenda na kuonyesha jinsi walivyo wenye kudhihaki. "Hakika ninyi ni watu muhimu kwamba hekima haiwezi kuwepo bila ninyi" au " Ninyi nyote mnatenda kama ninyi ni watu wenye hekima peke yenu, na kwamba wakati mtakapokufa hekima itapotea"

ninyi

Huu ni wingi hapa na katika sentensi mbili zifuatazo.

Ni dhahiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?

Ayubu anatumia swali hili kuelezea ukweli ambao unapaswa kuwa wazi kwa wasikilizaji wake. Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: Ni dhahiri hakuna awaye yote ambaye hafahamu vitu kama hivi" au "kila mtu anafahamu vitu hivi"