forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
560 B
Markdown
20 lines
560 B
Markdown
# ulinitoa kwenye tumbo la uzazi
|
|
|
|
Hapa kutolewa nje la tumbo la uzazi kunahusiana na kuzaliwa duniani. "kunitoa mimi nje la tumbo la uzazi la mama yangu" au " kunileta mimi duniani"
|
|
|
|
# ningekata roho
|
|
|
|
Kukata roho kwa mtu kunahusiana na kufa. "fariki"
|
|
|
|
# na ili jicho lolote lisinione
|
|
|
|
Ayubu anatumia "jicho" hapa akirejea watu wote. Anatamani yeye angelikufa wakati wa kuzaliwa, kabla hajaonekana na yeyote. "kabla mtu yeyote hajaniona mimi" au "kabla ya kuzaliwa kwangu"
|
|
|
|
# kuwepo
|
|
|
|
"kuishi"
|
|
|
|
# ningelikuwa nimechukuliwa
|
|
|
|
"Mwili wangu ungelikuwa umechukuliwa"
|