sw_tn/job/10/18.md

560 B

ulinitoa kwenye tumbo la uzazi

Hapa kutolewa nje la tumbo la uzazi kunahusiana na kuzaliwa duniani. "kunitoa mimi nje la tumbo la uzazi la mama yangu" au " kunileta mimi duniani"

ningekata roho

Kukata roho kwa mtu kunahusiana na kufa. "fariki"

na ili jicho lolote lisinione

Ayubu anatumia "jicho" hapa akirejea watu wote. Anatamani yeye angelikufa wakati wa kuzaliwa, kabla hajaonekana na yeyote. "kabla mtu yeyote hajaniona mimi" au "kabla ya kuzaliwa kwangu"

kuwepo

"kuishi"

ningelikuwa nimechukuliwa

"Mwili wangu ungelikuwa umechukuliwa"