sw_tn/job/10/15.md

1.2 KiB

Kama mimi ni muovu

"Kama mimi ni muovu" au "Kama mimi nafanya mambo maovu"

ole wangu

"jinsi ngani itakuwa ya kutisha kwangu"

hata kama ni mwenye haki

"hata kama mimi mara zote hufanya mambo vizuri"

inua kichwa changu

Msemo huu unamaanisha kuwa na uhakika or tumaini. "nitazidi kutazama juu" au "kuwa na tumaini" au "kuwa na uhakika kuhusu mimi mwenyewe"

nimejaa aibu

Jina la kufikirika "aibu" linaweza kutafsiriwa kwa kutumia kivumishi "aibika." "Mimi nimejawa na kuaibika"

aibu

"fedheha"

na ninayaangalia mateso yangu

Jina la kufikirika "mateso" linaweza kutafsiriwa kwa kutumia kitenzi "teseka." "na ninaangalia jinsi gani mimi nateseka"

na ninayaangalia

Neno linalokosekana linaweza kuwa kuongezwa. "na mimi ninatazama"

Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe

Msemo huu unamaanisha kuwa kujiamini au kujiona. "Kama nitakuwa na kiburi"

waniwinda kama simba

Maana zinazofaa ni 1) Mungu anamwinda Ayubu kama simba awindavyo mawindo yake au 2) Ayubu ni kama simba awindwaye na Mungu.

mara nyingine tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.

Kifungu hiki kinaelezea kejeri jinsi gani ma ajabu ya nguvu za Mungu yaonekanavyo kwa namna yeye anavyotenda dhidi ya Ayubu.