sw_tn/job/10/08.md

474 B

Mikono yako

Hapa "mikono" ni mfano wa Mungu na ubunifu wake wa kufanya. "Wewe"

Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka

Ayubu anatumia sitiari ya mfinyanzi atengenezaye udongo kuelezea namna Mungu alivyo muumba yeye kwa uangalifu mkubwa.

imeniumba na kunifinyanga

"amenipa umbo na kunitengeneza." Maneno "umbwa" na "finyangwa" yana maana inayolandana.

fikiri

"kumbuka"

utanirudisha mavumbini tena

"nirudishe tena mavumbini"