forked from WA-Catalog/sw_tn
712 B
712 B
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba
Ayubu analinganisha mateso yake kutoka Kwa Mungu na athari za dhoruba. "Yeye hunijeruhi mimi kana kwamba kwa dhoruba."
dhoruba
lenye nguvu sana au tufani lenye nguvu sana
zidisha majeraha yangu
"hunipatia mimi majeraha mengi" au "hunijeruhi mimi tena na tena"
pasipo sababu
Hata kama sijaweza kumpa sababu ya kufanya hivyo" au "hata kama sina kosa"
kamata pumzi yangu
Hii ni lugha ambayo humaanisha "pumua" au "vuta pumzi"
yeye hunijaza uchungu
Mstari huu ni mfano wa Mungu kuyajaza maisha ya Ayubu na mambo ambayo humpa yeye uchungu. Jina la kufikirika "uchungu" linaweza kuelezewa kama kivumishi "-chungu." "yeye hunijaza mimi na mambo machungu"