forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
712 B
Markdown
24 lines
712 B
Markdown
|
# kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba
|
||
|
|
||
|
Ayubu analinganisha mateso yake kutoka Kwa Mungu na athari za dhoruba. "Yeye hunijeruhi mimi kana kwamba kwa dhoruba."
|
||
|
|
||
|
# dhoruba
|
||
|
|
||
|
lenye nguvu sana au tufani lenye nguvu sana
|
||
|
|
||
|
# zidisha majeraha yangu
|
||
|
|
||
|
"hunipatia mimi majeraha mengi" au "hunijeruhi mimi tena na tena"
|
||
|
|
||
|
# pasipo sababu
|
||
|
|
||
|
Hata kama sijaweza kumpa sababu ya kufanya hivyo" au "hata kama sina kosa"
|
||
|
|
||
|
# kamata pumzi yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ambayo humaanisha "pumua" au "vuta pumzi"
|
||
|
|
||
|
# yeye hunijaza uchungu
|
||
|
|
||
|
Mstari huu ni mfano wa Mungu kuyajaza maisha ya Ayubu na mambo ambayo humpa yeye uchungu. Jina la kufikirika "uchungu" linaweza kuelezewa kama kivumishi "-chungu." "yeye hunijaza mimi na mambo machungu"
|