sw_tn/job/08/11.md

289 B

Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?

Bidadi anatoa maswali ya kejeri kusisitiza hoja yake aliyoitoa katika 8:8: Watu wanahitaji mafundisho ya wazazi wao. "Mti wa mafunjo hayawezi kumea mbali na bwawa. Mafunjo hayawezi kumea bila maji."

nyauka

"kausha"