forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
439 B
Markdown
12 lines
439 B
Markdown
# kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao
|
|
|
|
" ni kwasababu Mungu ameruhusu uwezo wa dhambi zao kuwaongoza wao" au "amewaadhibu kulingana na matokeo ya dhambi zao."
|
|
|
|
# Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi
|
|
|
|
Vifungu vyote hivi vinamtaja Ayubu akimwomba Mungu msaada, au akijitetea kwa Mungu kwa ajili ya msamaha.
|
|
|
|
# ukimtafuta Mungu kwa bidii
|
|
|
|
"kwa bidii mwombe Mungu kwa ajili ya msaada"
|