sw_tn/job/08/04.md

439 B

kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao

" ni kwasababu Mungu ameruhusu uwezo wa dhambi zao kuwaongoza wao" au "amewaadhibu kulingana na matokeo ya dhambi zao."

Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi

Vifungu vyote hivi vinamtaja Ayubu akimwomba Mungu msaada, au akijitetea kwa Mungu kwa ajili ya msamaha.

ukimtafuta Mungu kwa bidii

"kwa bidii mwombe Mungu kwa ajili ya msaada"