sw_tn/job/07/04.md

412 B

Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?

Ayubu analeta swali hili kusisitiza mateso yake makali sana wakati wa masaa ya kulala. "Natamani ningeweza kuamka, lakini usiku unaendelea."

Nimejawa na kujitupa huku na huko

Hii inaonyesha kwamba Ayubu alikuwa anahamahama kitandani usiku kucha bila kupumzika. "Mimi nimechoka kujisukasuka na kujigeuza bila kutulia."

madonda yenye vumbi

uvimbe mchafu