forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
412 B
Markdown
12 lines
412 B
Markdown
|
# Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?
|
||
|
|
||
|
Ayubu analeta swali hili kusisitiza mateso yake makali sana wakati wa masaa ya kulala. "Natamani ningeweza kuamka, lakini usiku unaendelea."
|
||
|
|
||
|
# Nimejawa na kujitupa huku na huko
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwamba Ayubu alikuwa anahamahama kitandani usiku kucha bila kupumzika. "Mimi nimechoka kujisukasuka na kujigeuza bila kutulia."
|
||
|
|
||
|
# madonda yenye vumbi
|
||
|
|
||
|
uvimbe mchafu
|