sw_tn/job/05/08.md

767 B

Habari za Jumla:

Katika mistari hii, Elifazi anaendeleza hotuba toka 4: 1. Mwandishi anaenedelea kutumia ulinganishaji katika kila mstari, kuwasilisha wazo moja akitumia maelezo mawili tofauti kusisitiza kwamba Ayubu lazima akiri hali yake kwa Mungu ambaye hutenda mambo ya kustajabisha.

makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu

"Mambo makuu ambayo hayawezi fahamika, maajabu ambayo hayahesabiki"

mambo yasiyochunguzika

Hii inamaanisha mambo ambayo wanadamu hawezi kuyaelewa.

makuu na mambo yasiyochunguzika

Hapa mwandishi anatumia maneno mawili yanayojitegemea na kuunganishwa kwa "na" kusisitiza ukuu wa matendo ya Mungu. "mambo makuu sana yenye kuhitaji maarifa mengi"

mambo ya ajabu

"mambo ya kustajabisha" au "maajabu"