forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
767 B
Markdown
20 lines
767 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Katika mistari hii, Elifazi anaendeleza hotuba toka 4: 1. Mwandishi anaenedelea kutumia ulinganishaji katika kila mstari, kuwasilisha wazo moja akitumia maelezo mawili tofauti kusisitiza kwamba Ayubu lazima akiri hali yake kwa Mungu ambaye hutenda mambo ya kustajabisha.
|
||
|
|
||
|
# makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu
|
||
|
|
||
|
"Mambo makuu ambayo hayawezi fahamika, maajabu ambayo hayahesabiki"
|
||
|
|
||
|
# mambo yasiyochunguzika
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mambo ambayo wanadamu hawezi kuyaelewa.
|
||
|
|
||
|
# makuu na mambo yasiyochunguzika
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anatumia maneno mawili yanayojitegemea na kuunganishwa kwa "na" kusisitiza ukuu wa matendo ya Mungu. "mambo makuu sana yenye kuhitaji maarifa mengi"
|
||
|
|
||
|
# mambo ya ajabu
|
||
|
|
||
|
"mambo ya kustajabisha" au "maajabu"
|