sw_tn/job/05/06.md

309 B

Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi

Hapa magumu na taabu yanazungumziwa kana kwamba ni mimea.

wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama cheche za moto zirukavyo juu.

Ni kama asili ya watu, mara tu wazaliwapo, kuwa na taabu kama ilivyo kwa cheche za moto zirukavyo juu.