forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
309 B
Markdown
8 lines
309 B
Markdown
|
# Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi
|
||
|
|
||
|
Hapa magumu na taabu yanazungumziwa kana kwamba ni mimea.
|
||
|
|
||
|
# wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama cheche za moto zirukavyo juu.
|
||
|
|
||
|
Ni kama asili ya watu, mara tu wazaliwapo, kuwa na taabu kama ilivyo kwa cheche za moto zirukavyo juu.
|