sw_tn/job/04/10.md

722 B

Habari za Jumla:

Mwandishi anatumia ulinganishaji katika mistari hii, anawasilisha wazo moja akitumia maelezo tofauti kutilia mkazo uharibifu wa Mungu kwa watu waovu.

Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.

Hapa muungurumo wa simba, sauti yake, na meno yake yamevunjika vinatumika kama mfano wa kuangamizwa kwa waovu.

yamevunjika

Hii inaweza kuwekwa katika umbo halisi. "kitu fulani kimeyavunja"

Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali

Elifazi anatumia picha ya simba mzee anayekufa kwa njaa na familia yake imetawanyika kama sitiari ya kuangamizwa kwa waovu

wametawanyika

"kitu fulani kimetawanya watoto wa simba"