sw_tn/job/03/15.md

844 B

Habari za Jumla:

Ayubu anaendelea na fikira zake kuhusu kufa kabla ya kuzaliwa.

Au Ningelikuwa nimelala pamoja ... wasio uona mwanga kabisa.

Hii inaelezea kitu ambacho kingetokea lakini hakikuweza kutokea.

Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu

"Ningelikuwa nimepumzika na wakuu." Katika kifungu hiki, neno "lala" na "kupumzika" ni njia ya heshima kusema "haishi tena."

wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha

Ayubu anatumia ulinganishaji kusisitiza kile anachosema.

Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.

Ayubu anatumia ulinganishaji kusisitiza anachosema.

ningekuwa sijazaliwa

"Ningelikuwa nimekufa tumboni mwa mama yangu"

kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa

"kama watoto wachanga ambao hawangelizaliwa"

watoto wachanga

"watoto" au "watoto wadogo sana"