forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
844 B
Markdown
32 lines
844 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea na fikira zake kuhusu kufa kabla ya kuzaliwa.
|
||
|
|
||
|
# Au Ningelikuwa nimelala pamoja ... wasio uona mwanga kabisa.
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kitu ambacho kingetokea lakini hakikuweza kutokea.
|
||
|
|
||
|
# Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu
|
||
|
|
||
|
"Ningelikuwa nimepumzika na wakuu." Katika kifungu hiki, neno "lala" na "kupumzika" ni njia ya heshima kusema "haishi tena."
|
||
|
|
||
|
# wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia ulinganishaji kusisitiza kile anachosema.
|
||
|
|
||
|
# Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia ulinganishaji kusisitiza anachosema.
|
||
|
|
||
|
# ningekuwa sijazaliwa
|
||
|
|
||
|
"Ningelikuwa nimekufa tumboni mwa mama yangu"
|
||
|
|
||
|
# kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa
|
||
|
|
||
|
"kama watoto wachanga ambao hawangelizaliwa"
|
||
|
|
||
|
# watoto wachanga
|
||
|
|
||
|
"watoto" au "watoto wadogo sana"
|