sw_tn/job/03/13.md

677 B

Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimyakimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko

Ayubu anatumia sentensi mbili kufikiri kuhusu ingelikuwaje kama yeye asingelizaliwa au angelikufa wakati wa kuzaliwa.

ningelikuwa nimelala chini kimya kimya

Ayubu anafikiria kitu ambacho kingeliweza kutokea katika siku za nyuma lakini hakikutokea, kama ilivyoelezwa hapo juu. "Ningelikuwa nimelala chini kimyakimya"

nimelala chini kimya

"lala, kupumzika kwa amani"

na kupata pumziko

Neno "pumziko" hapa linamaanisha kulala kwa amani, lakini pia huyo Ayubu asingelikuwa anapitia maumivu ambayo anayapata

pamoja na wafalme na washauri wa dunia,

"na wafalme na washauri wao"