forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
677 B
Markdown
20 lines
677 B
Markdown
|
# Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimyakimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia sentensi mbili kufikiri kuhusu ingelikuwaje kama yeye asingelizaliwa au angelikufa wakati wa kuzaliwa.
|
||
|
|
||
|
# ningelikuwa nimelala chini kimya kimya
|
||
|
|
||
|
Ayubu anafikiria kitu ambacho kingeliweza kutokea katika siku za nyuma lakini hakikutokea, kama ilivyoelezwa hapo juu. "Ningelikuwa nimelala chini kimyakimya"
|
||
|
|
||
|
# nimelala chini kimya
|
||
|
|
||
|
"lala, kupumzika kwa amani"
|
||
|
|
||
|
# na kupata pumziko
|
||
|
|
||
|
Neno "pumziko" hapa linamaanisha kulala kwa amani, lakini pia huyo Ayubu asingelikuwa anapitia maumivu ambayo anayapata
|
||
|
|
||
|
# pamoja na wafalme na washauri wa dunia,
|
||
|
|
||
|
"na wafalme na washauri wao"
|