forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
376 B
Markdown
12 lines
376 B
Markdown
# alimpenda
|
|
|
|
Huu ni aina ya upendo amabao hutoka kwa Mungu ambao huangalia mema ya wengine hata kama hauna maslahi binafsi. Aina ya upendo huu huwajali wengine, bila kujali wanachokifanya
|
|
|
|
# kwenye chakula cha jioni
|
|
|
|
Hii inakumbushia chakula cha mwisho ambacho Yesu alikula na wanfunzi wake
|
|
|
|
# Petro alimwona
|
|
|
|
Hapa neno "yeye" linalemlenga "mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda"
|