sw_tn/jhn/21/20.md

376 B

alimpenda

Huu ni aina ya upendo amabao hutoka kwa Mungu ambao huangalia mema ya wengine hata kama hauna maslahi binafsi. Aina ya upendo huu huwajali wengine, bila kujali wanachokifanya

kwenye chakula cha jioni

Hii inakumbushia chakula cha mwisho ambacho Yesu alikula na wanfunzi wake

Petro alimwona

Hapa neno "yeye" linalemlenga "mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda"