forked from WA-Catalog/sw_tn
376 B
376 B
alimpenda
Huu ni aina ya upendo amabao hutoka kwa Mungu ambao huangalia mema ya wengine hata kama hauna maslahi binafsi. Aina ya upendo huu huwajali wengine, bila kujali wanachokifanya
kwenye chakula cha jioni
Hii inakumbushia chakula cha mwisho ambacho Yesu alikula na wanfunzi wake
Petro alimwona
Hapa neno "yeye" linalemlenga "mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda"