Je, wanipenda mimi?
Mara hii Yesu anapouliza swali hili anatumia neno kwa "upendo" ambalo linamanisha upendo wa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila
Lisha kondoo wangu
"Uwajali watu wangu ninaowajali"
Kweli, kweli
itafsiriwe kama ilivyo kwenye Yohana 1:49, 1:51