sw_tn/jhn/21/17.md

285 B

Je, wanipenda mimi?

Mara hii Yesu anapouliza swali hili anatumia neno kwa "upendo" ambalo linamanisha upendo wa ndugu au upendo wa urafiki au upendo wa kifamila

Lisha kondoo wangu

"Uwajali watu wangu ninaowajali"

Kweli, kweli

itafsiriwe kama ilivyo kwenye Yohana 1:49, 1:51