forked from WA-Catalog/sw_tn
433 B
433 B
aliyempenda
Huu ni upendo unaotoka kwa Mungu ambao hutazama zaidi mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa aina hii huwajali zaidi wengine bila kujali wanachokifanya
(maana hakuwa amelivaa vizuri)
Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha
Kwani hawakuwa mbali na pwani, yapata mita mia moja kutoka ufukweni)
Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha
yapata dhiraa miambili
"mita tisini"dhiraa ni ndogo kuliko nusu mita