sw_tn/jhn/21/07.md

433 B

aliyempenda

Huu ni upendo unaotoka kwa Mungu ambao hutazama zaidi mema ya wengine, hata kama hauna maslahi binafsi. Upendo wa aina hii huwajali zaidi wengine bila kujali wanachokifanya

(maana hakuwa amelivaa vizuri)

Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha

Kwani hawakuwa mbali na pwani, yapata mita mia moja kutoka ufukweni)

Hii ni kwa mujibu wa mukhutadha

yapata dhiraa miambili

"mita tisini"dhiraa ni ndogo kuliko nusu mita