sw_tn/jhn/20/16.md

450 B

Rabboni

Neno "Rabboni" linamanisha rabi au mwalimu katika Matamushi ya Kiaramaic ya Mariamu

ndugu

Yesu alitumia neno "ndugu" akimaanisha wanafunzi wake

nitapaa kwenda kwa baba amabye pia ni baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.

Yesu alifufuka toka wafu kisha akatabiri kupaa mbinguni, akirudi kwa Baba, Mungu Baba

Baba yangu na Baba yenu

Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu, na kati ya waumini na Mungu.