forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
450 B
Markdown
16 lines
450 B
Markdown
|
# Rabboni
|
||
|
|
||
|
Neno "Rabboni" linamanisha rabi au mwalimu katika Matamushi ya Kiaramaic ya Mariamu
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
Yesu alitumia neno "ndugu" akimaanisha wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
# nitapaa kwenda kwa baba amabye pia ni baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.
|
||
|
|
||
|
Yesu alifufuka toka wafu kisha akatabiri kupaa mbinguni, akirudi kwa Baba, Mungu Baba
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu na Baba yenu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu, na kati ya waumini na Mungu.
|