forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
367 B
Markdown
12 lines
367 B
Markdown
# mwanafunzi mwingine
|
|
|
|
Yohana anatumia neno hili kwa kuonesha unyenyekevu akimaanisha yeye mwenyewe pasipo kutaja jina lake.
|
|
|
|
# aliona na kuamini
|
|
|
|
Alipoona kuwa kaburi lipo wazi, aliamini ya kuwa yesu alikuwa amefufuka kutoka wafu
|
|
|
|
# bado hawakuyajua maandiko
|
|
|
|
hapa mwandishi anawaongelea wanafunzi ambao hawakujua bado maandiko yanayosema kuwa Yesu angefufuka tena.
|