sw_tn/jhn/20/03.md

8 lines
222 B
Markdown

# mwanafunzi mwingine
Yohana anatumia neno hili kwa kuonyesha unyenyekevu akimaanisha yeye mwenyewe badala ya kutumia jina lake.
# Sanda za kitani
Hizi zilikuwa nguo za mazishi zilizotumika kuuzongazonga mwili wa Yesu.