sw_tn/jhn/20/03.md

222 B

mwanafunzi mwingine

Yohana anatumia neno hili kwa kuonyesha unyenyekevu akimaanisha yeye mwenyewe badala ya kutumia jina lake.

Sanda za kitani

Hizi zilikuwa nguo za mazishi zilizotumika kuuzongazonga mwili wa Yesu.