sw_tn/jhn/20/01.md

12 lines
282 B
Markdown

# Siku ya kwanza ya Juma
Jumapili
# Mwanfunzi ambaye Yesualimpenda
Sentesi hii inaonekana kuwa ni njia ambayo Yohana aliitumia kumwonyesha yeye katika kitibu chote. Neno "upendo" linamaanisha upendo wa ndugu au upendo wa rafiki au kwa mwanafamilia
# Wamemchukua
Mtu amechukua