sw_tn/jhn/20/01.md

282 B

Siku ya kwanza ya Juma

Jumapili

Mwanfunzi ambaye Yesualimpenda

Sentesi hii inaonekana kuwa ni njia ambayo Yohana aliitumia kumwonyesha yeye katika kitibu chote. Neno "upendo" linamaanisha upendo wa ndugu au upendo wa rafiki au kwa mwanafamilia

Wamemchukua

Mtu amechukua