sw_tn/jhn/19/40.md

8 lines
353 B
Markdown

# Sasa mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani....hakuna mtu alikuwa amezikwa humo
Hapa mwandishi Yohana anatoa maelezo kuhusu mahali ambapo kaburi lilikuwa
# Kwa sababu ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi
Kulingana na sheria ya Kiyahudi, hakuna mtu aliyeruhusiwa kufanya kazi baada ya jua kuzama. Ilikuwa ni mwanzo wa Sabato na Pasaka