sw_tn/jhn/19/40.md

353 B

Sasa mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani....hakuna mtu alikuwa amezikwa humo

Hapa mwandishi Yohana anatoa maelezo kuhusu mahali ambapo kaburi lilikuwa

Kwa sababu ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi

Kulingana na sheria ya Kiyahudi, hakuna mtu aliyeruhusiwa kufanya kazi baada ya jua kuzama. Ilikuwa ni mwanzo wa Sabato na Pasaka