sw_tn/jhn/19/31.md

385 B

Wayahudi

Hii inamaanisha viongozi wa Kiyahudi

siku ya maandalio

Huu ni muda uliokuwa kabla ya pasaka ambao ulitumika kuandaa chakula

kuvunja miguu yao na kuiondoa

Unaweza kutafsiri kama, "kuvunja miguu ya waliosulibiwa na kuiondoa miili yao kutoka kwenye misalaba yao"

aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.

Unaweza kutafsiri kama, "ambaye walimsulibisha karibu na Yesu"