forked from WA-Catalog/sw_tn
359 B
359 B
Pilato pia aliandika alama na kuiweka juu ya msalaba
hapa inamaanisha mtu aliyeandika kwa niaba ya Pilato na kuiweka juu ya msalaba wa Yesu
Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETHH, MFALME WA WAYAHUDI
Unaweza pia kutafsiri hii kama: "hivyo yule mtu aliandika maneno haya: Yesu ya nazarethi, mfalme wa Wayahudi"
Kiyunani
Hii ni lugha ya serikali ya Kirumi