sw_tn/jhn/19/19.md

359 B

Pilato pia aliandika alama na kuiweka juu ya msalaba

hapa inamaanisha mtu aliyeandika kwa niaba ya Pilato na kuiweka juu ya msalaba wa Yesu

Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETHH, MFALME WA WAYAHUDI

Unaweza pia kutafsiri hii kama: "hivyo yule mtu aliandika maneno haya: Yesu ya nazarethi, mfalme wa Wayahudi"

Kiyunani

Hii ni lugha ya serikali ya Kirumi