forked from WA-Catalog/sw_tn
345 B
345 B
Sentensi unganishi:
Muda umepita na sasa ni saa la sita, wakati Pilato anawaagiza askari wamsulibishe Yesu.
saa la sita
kama muda wa mchana
Pilato akwaambia Wayahudi
Hapa inamaanisha Pilato aliwaambia viongozi wa Kiyahudi
Je, mimi nimsulibishe mfalme wenu?
Pilato anawauliza Wayahudi ikiwa wanataka askari wake wamsulibishe Yesu.