sw_tn/jhn/19/14.md

345 B

Sentensi unganishi:

Muda umepita na sasa ni saa la sita, wakati Pilato anawaagiza askari wamsulibishe Yesu.

saa la sita

kama muda wa mchana

Pilato akwaambia Wayahudi

Hapa inamaanisha Pilato aliwaambia viongozi wa Kiyahudi

Je, mimi nimsulibishe mfalme wenu?

Pilato anawauliza Wayahudi ikiwa wanataka askari wake wamsulibishe Yesu.