forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
345 B
Markdown
16 lines
345 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Muda umepita na sasa ni saa la sita, wakati Pilato anawaagiza askari wamsulibishe Yesu.
|
||
|
|
||
|
# saa la sita
|
||
|
|
||
|
kama muda wa mchana
|
||
|
|
||
|
# Pilato akwaambia Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha Pilato aliwaambia viongozi wa Kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# Je, mimi nimsulibishe mfalme wenu?
|
||
|
|
||
|
Pilato anawauliza Wayahudi ikiwa wanataka askari wake wamsulibishe Yesu.
|