sw_tn/jhn/19/10.md

345 B

Je, wewe huongei na mimi?

Pilato anaonyesha kushangazwa na Yesu kwa kutokuitumia nafasi hiyo ya kujiteteta. "Nijibu"

Usingekuwa na nguvu kama usingepewa toka juu

"Una mamalaka kinyume changu kwa sababu tu umepewa"

aliyenitoa

Neno "kutoa" linamaanisha kumkabidhi Yesu kwa adui, kama vile Yuda alivyomtoa Yesu kwa viongozi wa Kiyahudi