forked from WA-Catalog/sw_tn
384 B
384 B
inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu
Yesu alihukumiwa kufa kwa kifo cha kusulibiwa kwa sababu ya kudai kuwa yeye alikuwa "mwana wa Mungu"
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo cha muhimu cha Yesu
Wewe uatoka wapi?
"Unatoka wapi? Pilato alimuliza Yesu kwa ajili ya kujua utambulisho wake. utamaduni wako unaweza kuwa njia maalumu ya kutambua utamaduni wa mtu.