sw_tn/jhn/18/31.md

300 B

Maelezo ya jumla:

Kwenye mstari wa 32 mwandishi anaelezea jinsi ambavyo yesu alitabiri kifo chake

Wayahudi wakamwambia

Hawa ni viongozi wa Wayahudi aliompinga Yesu na kumkamata.

sheria haituruhusu sisi kumpa tu adhabu ya kifo

Kulingana na sheria ya Kirumi, Wayahudi wasingweza kumuua mtu.