sw_tn/jhn/18/12.md

12 lines
195 B
Markdown

# Maelezo ya jumla:
Mstari wa 14 unatoa maelezo yanayomhusu Kayafa
# Wayahudi
hii inamaanisha viongozi wa Wayahudi
# Walimkamata Yesu na kumfunga
Askari walimfunga Yesu mikono ili asitoroke