sw_tn/jhn/18/12.md

195 B

Maelezo ya jumla:

Mstari wa 14 unatoa maelezo yanayomhusu Kayafa

Wayahudi

hii inamaanisha viongozi wa Wayahudi

Walimkamata Yesu na kumfunga

Askari walimfunga Yesu mikono ili asitoroke