sw_tn/jhn/17/24.md

387 B

Baba...ulinipenda mimi kabla y kuumbwa kwa isingi ya ulimwengu

Mungu Baba amempenda Mungu mwana. Kabla Mungu hajauumba ulimwengu, nafsi za Mungu hupendana, na zitaendelea kupendana milele yote.

Nilipo mimi

hii inamaanisha mbinguni

ili waweze kuona utukufu wangu

ili waweze kujua ukuu wangu

kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu

Hapa Yesu anamaanisha wakati wa kabla ya uumbaji