sw_tn/jhn/17/22.md

313 B

Utukufu ule ulionipa mimi nimewapa wao

nimewaheshimu wafuasi wangu kama ambavyo wewe umeniheshimu mimi

ili kwamba waweze kuwa na umoja

Unaweza kutafsiri kama: "ili uweze kuwaunganisha kama ambavyo umetuunganisha sisi"

kukamilishwa katika umoja

kuwa kitu kimoja

ili ulimwengu ujue

ulimwengu ni watu