# Vitu vyote...alivyonavyo Baba ni vyangu...Roho atachukua mambo yangu
Mungu Baba, Mwana, na Roho wote wanamiliki ulimwengu. Kwa pamoja ni wamoja na ni Mungu pekee.
# Baba
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu.
# Muda mfupi
"karibu" au "kabla ya muda mrefu"