Watawatendea haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala mimi.
Baadhi ya waamini wanaweza kuuawa kwa sababu wasiomjua Mungu Baba pia hawamjui wala kumuelewa Mungu Mwana, Yesu Kristo.
Baba
Hiki ni cheo cha Muhimu cha Mungu.
Hapo mwanzo
Angalia ulivyotafsiri "tangu mwanzo" kwenye Yohana 15:26