sw_tn/jhn/15/23.md

309 B

Yeye anichukiaye mimi humchukia Baba yangu pia ..... wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu

Kumchukia Mungu mwana ni kumchukia Mungu Baba pia.

wangelikuwa hawana dhambi

wasingekuwa wamefanya dhambi

sheria

Hii inamaanisha Agano la Kale lote ambalo lilikuwa na maagizo yote ya Mungu kwa wanadamu